Sasa Wakati Umefika | Basil A. Lukando | Sauti Tamu Melodies | wa Matoleo | SKIZA 7482439
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2025
- Sasa wakati umefika wa kushika nilicho nacho
Kwa wema niende kwa Mungu nitoe zawadi
Sasa wakati umefika kwenda mbele za Mungu wangu
Aone nilivyoandaa zawadi ya leo
Nitamwambia Bwana pokea, hiki kidogo nilicho nacho
Kwani Mungu wewe wanijua, mimi siwezi hata kueleza
Nakusihi sana Baba unipokee
Nigawie na baraka niwe salama
Tazama anayekula mwili wako na nijaposema kwa lugha
#SautiTamu #kwayakatoliki #Zilipendwa
subscribe channel hii kwani nyingi zaja.
Fuatilia pia channel ya Rajo Production, Holy Trinity Studios, Tanganyika productions kupata nyimbo nyingine za kwaya Katoliki Afrika Mashariki zikiwemo mimina neema maneno matamu wimbo ulio bora Bwana unibadili na neema ya Mungu.
Nyimbo nyingine za sadaka zinazojulikana sana ni uzipokee sadaka, nitakwenda mimi mwenyewe, utukuzwe ewe Baba, Sadaka yangu kwako ee Mungu, Nikupe nini Mungu wangu cha kukupendeza, sasa ndio wakati, na Beba mikononi
sasa wakati umefika catholic song
Am here after seeing magufuli assisting church offering collections..We have lost a strong pillar of faith.😢😢😢
May his soul rest in peace
Same here,May He Rest in Peace
You have said it all brother...
same here
Me 2 😭😭
Kama kuna mwenye anasikiliza huu wimbo 2024 kuja tujuane kwa likes❤❤
I listen to it daily, and in my status almost after every 2days, even now it's there 😂
❤❤❤
Nikianza 2021
Mm apa
Wimbo bado unatubariki❤❤
Nigawie Na Baraka Niwe Salama.
Amina
Hiii nyimbo inanikumbusha Tanzania
Kama ukiusikia uu wimbo kanisani wakati wa sadaka unachangamka gonga like twende sambamba
Wimbo mtamu Sana
Tena unatamani upigwe Tena wakati wa sadaka ya pili
Tamu
l
O
O
Mazengo
Nipee likes za 2025🎉🎉this is a year of blessings ❤
Naimba nyimbo hii leo tarehe 6/4/2025 asubuhi ya saa 12 nikimuuliza mungu nimpe nn kwa kunifanikisha kuiona siku ya leo yenye mfanano wa cku yangu ya kuzaliwa😢 huku tukisubiri majuma machache kusubiri mateso ya bwana wetu yesu kristo Kisha kifo na KUFUFUKA KWAKE🍾nawatakia mfungo mwema wa kwaresma ndugu zangu wakristo na pasaka njema🙌🇹🇿
🙏🙏
Hiii nyimbo inanikumbusha mh magufili alikuwa anakusanya sadaka mungu alaze mahala pema peponi 🙏
Amina
Huu msiba hautatuisha milele
Kabisa, alikusanya sadaka na wakati wimbo huu unaimbwa. Hapo ndipo nami nilipoutafuta huku. Apumzike kwa amani.
Kabisa na mm inanikumbusha JPM.Apumzike kwa Aman🙏
@@TonnyCaesar
.!
Mubarikiwe Sana wapenzi
Shukrani, nawe pia
Munywoki...kazi nzuri kaka. Barikiwa
Tunakuomba Mungu Baba umpokee Raisi wetu John Pombe Magufuli umuweke pamoja na watakatifu wako milele yote!
Amina
❤❤❤❤ Amen 😢
Amen
Dada mimi ni muislam lakini hii nyimbo imeniingia sna kwakwel dada
Ubarikiwe
Catholics songs the best
This song blessed me during the night vigil At Vincentian retreat center on February 28th .....2025 what a night it was....
Glory to God
@MoreenKagendo-y6w am so relieved it was my first time and the song spoke to me
@@MoreenKagendo-y6wlet's plan to attend the next night vigil
sasa wakati umefika ..........................kama uko uku bado 2024🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊
Na wa penda saana wa tungaji wa nyimbo za kanisa letu takatifu kwani, ninapo, sikia nyimbo nzuri kama iZi,nimejazwa na furaha na imani tele ya kufa mu christu ❤❤❤🎉
Sasa wakati umefika 🙏🙏👏 wakushika nilicho nacho 😊
Nausikiriza huu wimbo kwa makini
Thank you
Mwenyezi mungu Awabariki wanakwaya.naipenda sna hii nyimbo ya Sadaka, nawa Shukuru sna 🤲 I'm happy to hear that thanks so much I'm Watching live from Saudi Arabia 🇸🇦🇰🇪🙏🙏🙏🙏🙏👌💓🙌🙌🙌🙌🙌
Amina, ubarikiwe
Ain't a Roman Catholic church member but there songs do bless me alot may God bless the Roman Catholic church over the world
Thank you Laban
Amen 🙏
Reminds of my high school days at St Joseph’s Boys Kitale. Holy mass every day of the week. Memories 😢
Hongereni saana na Mbarikiwe saana wimbo ni mzuri saana sadaka hapo lazima utoe yote🙄🤣 kazi nzuri ya kumsifu Mungu Mungu awabariki saana🙏
Hakika😀😀sadaka lazima.
Asante na ubarikiwe
Huu wimbo nikiusikia uniodilea stress kabisa,,najihisi mwepesi kabisaa
Sauti za kumtoa nyoka pangoni 😍😍...all the way from Doha,Qatar
I never get tired watching catholic songs..reminds me of my childhood upbringing in a catholic foundation
Asante
Am proud to be a Catholic,be blessed more than.
Song safi kabisa . Waimbaji wa nyimbo za injili msikubari kurudi nyuma Kama shetani maana yeye alikua wakwanza kuimba Ila ikarudi nyuma . Tumshinde shetani Mungu atusaidie Sana 🙏
Amina
Sasa wakati umefika kwawema niende kwa Mungu nitowe zawadi Asante Sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Asante sana Patrick, ubarikiwe🙏🙏
Amina
Najivunia kuwa mkatoliki maana sio kwaamami hii kila nisikiapo nyimbo zenyeujumbe mzuri
Hongera sana Munywoki na team Sauti Tamu. Hii ni safi sana👏👏👏👏 nasikiliza over n over
Asante sana Fayiee
Hongereni sana mungu hawabariki nyakati sote
Amina na Mungu akubariki
Very touching.good one
Wimbo umepikwa, ikapikika. May the Lord continue to use you as His instrument, Munywoki.
Nyimbo nzur
Asante
Mbarikiwe sana na Mungu wakatoliki wenzangu! We are always together 🙏✝️
Ubarikiwe nawe pia
Nitamwambia bwana pokea, kidogo niliconaco❤❤
Mungu aende Lee kuwapa nguvu za kumtumikia na sauti nyororo za kumsifu😘🙏🌹🌹
Asante Doreen
Wimbo mzuri san huu❤❤ kazi nzuri 😊
Kazi nzuri
Thank you🙏🙏🙏
Welcome,
Munywoki💥, it's awesome
❤❤❤❤❤❤❤ na hipenda san kanisa yang catholic ❤❤❤
Kazi nzuri sanaaa
Asante sana mkuu🙏🙏🙏
This song is very sweet, very blessing very demure 🎉
Huu wimbo lazima ni subscribe kwa sauti kubwa😆😅😅😅
Amen
Ni Tamu aki am listening at work makes me miss home
Na ubarikiwe na wimbo huu milele,nakuombea nikiwa mererani Tanzania
Amina
Wimbo unanibariki sana tena sana. Hongera sana na muendelee pia kubarikiwa na kuinuliwa kwa vipaji hivi adimu
I am not going to download this song, instead i will replay it everyday. Lets push it to a million views by Dec. Its such a great song
Thank you , it will reach 1M, it's peekng so fast
Bro kumbe wewe mcatho mwenzangu
@@CellphonesandCompLab mimi ni yule mkatho kamili
I play it over and over
Thank you Emily
Kwa kweli huu wimbo nimeupenda mpaka nikiuskia mwili unasisikma❤🎉🎉
Nitamwambia Bwana pokea hiki kidogo nilicho nacho, kwani Mungu wewe wanijua mimi siwezi hata kueleza nakusihi sana Baba unipokee, nigawie na baraka niwe salama 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Ahsante
😊😊 Amen
Jamani hii nyimbo inanikumbusha mbali sana wakati bado nipo romani sasa ni msabato ila naupenda sana tulibalikiwa kupitia huu wimbo
Nzuri sana ya sadaka ongera.
Asante
Naupenda mno🎉🎉🎉
Waimbaji ni wa kwaya gani
Siyo kwaya specific ila ni alumni University of Nairobi
Great congratulations I like the singing
Thank you
Hondera i
Toka DRC 🇨🇩 iyi nyimbo ina pendwa sana na wakristo wa jimbo la Butembo-Beni. Mbarikiwe sana na Mungu
Thank you
Proud to be Catholic 🙏💯🌹🔥🔥❤️♥️
Thank you
Hakika ni wimb nzuri mungu awajalie❤❤❤❤
Proud to be a Catholic. May God shower his blessings upon you guys
Asante
Kweli kabisa
Ahsanteni sana kwa nukuu nzuri
Shukrani Gari. Ubarikiwe
Kwakweli dada hii nyimbo nilikuwa siijui kwakweli nilikuwa naisikiliza kipande kidogo sana kipendi mh magu alivyokuwa anakusanya sadaka leo sasa nimeipta lasmi hapa nilipo naisikiliza dada hvi dada nyie niwaroma nampowap
Shukrani kaka.
Ubarikiwe
Karibu Nairobi
Ooh niwakenya kumbe okay mmi tanzania
Naam tupo Kenya ingawa tunashirikiana sana kwa ukaribu na Tz kwa mambo mengi
Saw dada hongereni sana na mungu amibariki sana roma nyie
Is good song, Mungu niondele tamaa ili niweze kukushukuru
Kazi safi
wimbo mvzr xanaaaaaa
Asante Kimotho
@@SautiTamu ok
Pumzi na uhai ni kutoka kwa nani❤
Naona fahari kuabudu katoliki
Ubarikiwe Tracey
Hii wimbo mbona mtu akisikiliza utoa machozi au Mimi tu❤❤😊😊😊
Only legends can understand the gravity of this song so I remember a lot of the past #ProudCathoric ❤
Thank you Prosper🙏🙏🙏
A well organized choir,thank very much
Much love from Uganda, Mbarara Archdiocese
Sauti tamu kweli you make me proud to be a catholic
Thank you
Asanteni sana my sisters mmenikumbusha my lovely aunt alikuwa shujaa Wa choir at St Peter's catholic church MUMIAS, May she continue resting in peace and God judge her according to the good work she did for him
May your aunty rest in peace.
Thank you for sharing the memories
Tamu sana, mbarikiwe nyote
Nawe ubarikiwe @Esau
Barikiweni nyinyi nyote.
Na ubarikiwe pia @Kawira
Nashukuru kabisa kwa wimbo huu mtamu saaana ,Mungu asifiwe
Kazi nzuri mkuu.... Hongera sana
Asante sana mkuu🙏🙏
Hae too am here plz napenda catholic songs hongera sana aky
Catholic songs never fade! Wonderful work, keep blessed!
Thank you. be blessed too
Huu ndio ule wimbo ambao ukiimbwa na huna sadaka unajipata hadi umefuliza ukatoe..so sweet
Thanks a lot Ruth
A very nice song 👍👍, keep it up
Thank you Kimanzi
Fantastic...
Nice one,,,hata kama ulikuwa umeeka za chapuu mahali unaeza toa ,,,proud to be a catholician forever
Thank you Ken
I have loved this songs from the first moment I heard it being sung by Our Lady of Guadeloupe church, Nairobi. Kudos
Thank you, now you can listen it any time
This is my church .......they do a very good job.......I miss
Mungu awape kipaji kwasauti yenu mulipokuwa mukitaganza ejile yenu kwa nyimbo zuri sana
We catholic we don't disappoint. Lovely
Thank you Morinke
This song makes me think of high school memories, st Mary gorettys Dede girls
Another incredible work! hongereni sana kwa utume mwema. Mmenibariki sana. Neema
Asante, ubarikiwe @Paul
Aisee mmeamua kurudisha nyimbo tamu kabisa #Nigawienabaraka niwe sala
Naipenda sana nyimbo ilikuwaina hamasihsa utoaji.
Old is Gold, nyimbo za zamani tamu sana
Kabisa aisee Old is Gold
Unajua pindi ukipokea kwa Mara ya kwanza unaishi ktk uwepo kutoka rohoni Daaah hii Nyimbo Tamu sana. Mbarikiwe sana sana kabisa
Kazi nzuri hii🥳🥳
Asante
Kwaya nzuri sana naipenda kuisikiliza mm jaman
Shukrani sana
am proud to be acatholic from kisumu kajulu kenya
Amen
Walai wimbo mtamu xana unanifanya niburudike nkiwa nmeboeka
Hu wimbo wanibubujisha nafsi yangu na kuupaka moyo wangu mafuta, heko wakristo.
Asante, ubarikiwe
Wuguawabariki sasa❤🎉❤
Ubarikiwe nawe pia
Am proud to be a Catholic 😇
Amen
Nawakubari xanaa mungu ni mwema!
Kila wakati
Shukrani
amani iwe nanyi siku zote, nimebarikiwa
Asante Khisa. Ubarikiwe zaidi
Sauti tamu kweli kweli,barikiweni sana🙏
Shukrani, ubarikiwe
@@SautiTamu Asante sana
Well Organised. Sauti Zote Ziko👍👌
Asante Newton
Eb is 44 Ww2
Mimi nataka kujiunga nanyi wa katiliki wenzangu lakini Niko kongo
This song reminds me of Rais Magufuli collecting offerings. Great leader he was May he continue Resting in Peace 🙏🏾
Amen
Hii ngoma hufanya mtu atoe adi ATM😂🙏🙏
😂😂😂
Mbarikiwe sana na mungu huu wimbo.
Asante Magdalena nawe, ubarikiwe
saf
Wee iyo song waah tamu sana mbarikiwe sana🙏
Shukrani sana Kevin
Kazi nzuri sana Martin... May the good Lord bless your good work. May He bless you beyond your imagination. Nakupenda.
Asante sana Miss Anne. Hongera kwa kuimba vizuri, na kubariki wengi kwa sauti yako tamu
Hongeren sana wapendwa
Shukrani 🙏🏻
Hey! This song can make you bankrupt I say 😄😄nakumbuka Enzi zile za utotoni,, nway nice one
😀😁😀😂 thank you Linet, usiende bankrupt
@@SautiTamu 😂😂😂😂yaani unaenda ukitoa, ukirudi ukitoa, rebounce 🤣🤣, nway God bless you abundantly guyz🙏🏿🙏🏿🙏🏿 💖💖💖
😂😂Be blessed too Linet. We look forward to doing more beautiful pieces like this
@@SautiTamu will be joining you aki,, nway all the best sweethearts😍😍
Proud of my Catholic faith ❤️...Tumsifu Yesu kristu...?Amina 🙏
Milele Amina
Hongereni Sana wimbo mtamu umenikumbusha mbali sana♥️♥️
Asante sana Elizabeth🙏🙏
Nice song baraka ziwafikie wafuata mungu wote
I am very happy...the spirit of ICC is well and truly alive ..keep up Munywoki and dear choristers.
🙏🙏🙏